KUNENA KWA LUGHA KAMA IBADA.
A. Maana na lengo la ibada. ” Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake, akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia. Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.”(Mathayo 4:5) Ibada ni kitendo cha mwanadamu kumsujudia na Kumuabudu Mungu
KUNENA KWA LUGHA KAMA IBADA. Read More »
KUNENA KWA LUGHA KAMA USHAHIDI WA AWALI WA KUJAZWA ROHO MTAKATIFU.
Kitabu cha matendo ya mitume ndio kitabu kilichohifadhi kwa kina kuhusu ujazo wa Roho Mtakatifu kuanzia kwa mitume, Kanisa la Samaria,Kornelio na familia yake, Mtume Paulo na Kanisa la Efeso. Wasomi wa Historia wa kanisa wanasema kipindi cha kuanzia siku ya pentekoste mpaka kanisa la efeso linajazwa na Roho Mtakatifu ni kipindi cha zaidi ya
KUNENA KWA LUGHA KAMA USHAHIDI WA AWALI WA KUJAZWA ROHO MTAKATIFU. Read More »
MAMBO YANAYOFANIKISHWA KWA KUNENA KWA LUGHA.
Tulipokuwa tunaangazia maana ya kunena kwa lugha tulihitimisha kwa kusema kuwa Kunena kwa lugha ni uwezo wa lugha ya kiungu wa kufanikisha mambo mengi kwa sababu nyingi za kiroho. Mambo yafuatayo ni sehemu ya mambo makuu ambayo kunena kwa lugha kunayafanikisha kwa sababu kadha wa kadha za kiroho; Ukifuatilia Habari ya kunena kwa lugha kibiblia
MAMBO YANAYOFANIKISHWA KWA KUNENA KWA LUGHA. Read More »
KANUNI YA MSINGI KATIKA KUNENA KWA LUGHA.
Kama vilivyo vipawa (zawadi) zote kutoka kwa Mungu kwenda kwa mwanadamu, kusudi kuu na la msingi la Kunena kwa Lugha ni kwa ajili ya kuujenga ufalme wake hapa duniani. Na Ufalme wa Mungu unawakilishwa hapa duniani na mwili wa Kristo, na huo mwili wa Kristo unaundwa na waamini wote waliomo duniani.Kwa hiyo tunaweza kusema kwa
KANUNI YA MSINGI KATIKA KUNENA KWA LUGHA. Read More »
NINAANZAJE KUNENA KWA LUGHA.
Kama umesoma vizuri sehemu zilizopita hapo juu, utakuwa umekwisha jionea mambo matano ya msingi katika kunena kwa lugha, ambayo ni; Hivyo basi ukiyachunguza mambo hayo matano ya msingi utagundua mambo yaliyoko upande wako kuyafanya ni mambo makubwa mawili ambayo yote yanafanyika kwa imani. Mambo hayo ni; 1.Kumpokea Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako.
NINAANZAJE KUNENA KWA LUGHA. Read More »
NAFASI YA AKILI NA FAHAMU ZA KAWAIDA KATIKA KUNENA KWA LUGHA.
Akili ya binadamu (kwa Kiingereza “mind”]) ni kipawa kinachowezesha kufikiri, kuelewa, kuwasiliana, kujifunza, kupanga na kutatua matatizo. Ni ufahamu uliomo katika ubongo hasa wa binadamu, unaomwezesha hata kutofautisha jambo kwa wema na ubaya wake upande wa maadili na hatimaye kumuongoza katika kufanya maamuzi kwa kutumia hiari yake. (Wikipedia) Akili ya mwanadamu ni sehemu ya nafsi
NAFASI YA AKILI NA FAHAMU ZA KAWAIDA KATIKA KUNENA KWA LUGHA. Read More »
CHIMBUKO LA KUNENA KWA LUGHA.
Somo lililopita tulijifunza kuhusu maana ya Kunena kwa Lugha. leo tunaangalia sehemu nyingine ya somo letu na tunajifunza kuhusu Chimbuko la Kunena kwa Lugha. Kunena kwa lugha ni uweza unaoambatana na muamini kujazwa Roho Mtakatifu au kubatizwa na Roho Mtakatifu au Roho Mtakatifu kuja juu yake. Maneno hayo yote hapo juu (yaani kujazwa Roho Mtakatifu,
CHIMBUKO LA KUNENA KWA LUGHA. Read More »
